Kocha Sbai amejiunga na kikosi juzi na tayari ameanza kuwapa mazoezi ya utimamu wa mwili ili kuwaweka sawa kabla ya kuanza kwa msimu mpya wa ligi.
Kikosi kinaendelea kufanya mazoezi kwa awamu mbili asubuhi na jioni huku benchi la ufundi likiridhishwa na viwango vya wachezaji.
Advertisement
Tunatarajia kupata mechi nyingine ya kirafiki katika siku chache zijazo ili kulipa nafasi benchi la ufundi chini ya Kocha Zoran Maki kuwasoma wachezaji jinsi wanavyopokea mafunzo wanayowapa.