Baada ya mchezo wa juzi kikosi kilifanya mazoezi jana na leo kimeingia gym ili kuwaweka sawa wachezaji.
Jioni kikosi kitaendelea na mazoezi ya uwanjani kwa ajili ya kujifunza mbinu mbalimbali kutoka kwa benchi la ufundi.
Advertisement
Mchezo wa Jumamosi tumeupa umuhimu mkubwa tunahitaji ushindi ili kutinga fainali na hatimaye tutetee ubingwa wetu.