Baada ya mazoezi hayo wachezaji watampuzika kwa muda mchache kabla ya kuanza safari ya kurejea jijini Dar es Salaam saa saba mchana.
Baada ya kufika Dar es Salaam kikosi kitaanza maandalizi ya mchezo wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Tanzania Prisons itakayopigwa Jumatano katika Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya.
Advertisement
Kikosi kinarejea kikiwa na ushindi muhimu wa mabao 2-0 ugenini ambao unatuweka kwenye mazingira mazuri ya kufuzu hatua inayofuata ya Ligi ya Mabingwa Afrika.