Simba Sports Club
News

Timu yafanya mazoezi Uwanja wa Amaan

19 Mar 2024

Kikosi kimewasili hapa Zanzibar jioni ya Leo na wachezaji walipata muda wa kupumzika kwa saa chache kabla ya kufanya mazoezi ya utimamu wa mwili.

Wachezaji wote wameshiriki mazoezi hayo kikamilifu na wapo kwenye hali nzuri huku wakifuata maelekezo waliyokuwa wakipewa na walimu wao.

Advertisement

Kesho kikosi kitaendelea na programu ya mazoezi ikiwa ni siku ya pili kati ya saba ambazo kitakuwa hapa Zanzibar.

Back to homepage
Share this story