Kikosi kimewasili hapa Zanzibar jioni ya Leo na wachezaji walipata muda wa kupumzika kwa saa chache kabla ya kufanya mazoezi ya utimamu wa mwili.
Wachezaji wote wameshiriki mazoezi hayo kikamilifu na wapo kwenye hali nzuri huku wakifuata maelekezo waliyokuwa wakipewa na walimu wao.
Advertisement
Kesho kikosi kitaendelea na programu ya mazoezi ikiwa ni siku ya pili kati ya saba ambazo kitakuwa hapa Zanzibar.