Kikosi kimewasili Moshi saa 10 jioni kutoka jijini Tanga na saa 12 kimefanya mazoezi ya utimamu wa mwili baada ya mchezo wa jana dhidi ya Coastal Union.
Wachezaji wote waliosafiri wamefanya mazoezi na hakuna aliyepata maumivu kwenye mchezo wetu wa jana.
Advertisement
Kesho kikosi kitafanya mazoezi ya mwisho katika Uwanja wa Ushirika ambao utatumika kwenye mchezo wetu Jumapili saa 10 jioni.