Simba Sports Club
News

Timu yafanya mazoezi na kuanza safari kuelekea Singida

26 Dec 2024

Baada ya mazoezi hayo kikosi kitaanza safari ya kuelekea Singida kupitia Dodoma tayari kwa mchezo huo ambao tunategemea utakuwa mgumu.

Kikosi kitaondoka na wachezaji 23 ambao tunaamini watatupa alama tatu muhimu na kuendelea kubaki kileleni mwa msimamo.

Advertisement
Back to homepage
Share this story