Wachezaji wote wameshiriki mazoezi hayo na hakuna yoyote aliyepata maumivu ambayo yanaweza kumfanya kuukosa mchezo wa kesho.
Kikosi kipo tayari kwa mchezo huo ambao tunatarajia utakuwa mgumu kutokana na ubora wa wapinzani lakini tumejipanga kuhakikisha tunashinda.
Advertisement
Tutaingia katika mchezo wa kesho tukiwa na lengo moja tu la kuhakikisha tunashinda na kuchukua ubingwa.