Simba Sports Club
News

Timu yafanya mazoezi mwisho kabla ya kuifuata Horoya

8 Feb 2023

Baada ya mazoezi hayo kikosi kitafanya taratibu za safari ya kuelekea Guinea tayari kwa mchezo huo ambao utapigwa Jumamosi saa moja usiku kwa saa za Tanzania.

Wachezaji wote isipokuwa Augustine Okrah wameshiriki mazoezi hayo na hakuna aliyepata majeraha ambayo yatamfanya kuikosa safari.

Advertisement
Back to homepage
Share this story