Mazoezi hayo yameongozwa na kocha Daniel Cadena ambaye anakaimu nafasi ya kocha mkuu.
Baada ya kupata matokeo mabaya kwenye mchezo uliopita sasa tumejipanga kuhakikisha tunashinda siku ya Alhamisi ili kurejesha hali ya kujiamini kwa wachezaji.
Mazoezi hayo yameongozwa na kocha Daniel Cadena ambaye anakaimu nafasi ya kocha mkuu.
Baada ya kupata matokeo mabaya kwenye mchezo uliopita sasa tumejipanga kuhakikisha tunashinda siku ya Alhamisi ili kurejesha hali ya kujiamini kwa wachezaji.