Kikosi kimefika jijini Mwanza jana jioni na wachezaji wakapewa mapumziko kabla ya kuanza mazoezi mepesi leo jioni.
Moses Phiri ndiye mchezaji pekee ambaye hajashiriki mazoezi hayo baada ya kupata maumivu katika mchezo uliopita dhidi ya Kagera.
Advertisement
Kesho kikosi kitaendelea na mazoezi kujiandaa na mchezo ujao wa ligi dhidi ya KMC utakaopigwa Jumatatu katika Uwanja wa CCM Kirumba