Simba Sports Club
News

Timu yafanya mazoezi Magazan

15 May 2025

Wachezaji wote 24 tuliosafiri nao wameshiriki mazoezi hayo na morali zao zipo juu kuelekea mchezo huo ambao tumejipanga kuhakikisha tunapata matokeo chanya.

Mazoezi hayo yamefanyika katika uwanja huo kwa siku ya pili ambapo baada ya hapo saa tisa mchana kitaanza safari ya kuelekea katika mji wa Oujda ambao kutapigwa mchezo wenyewe.

Advertisement

Baada ya kufika Oujda kikosi kitafanya mazoezi ya mwisho katika Uwanja wa Manispaa ya Berkane ambao utatumika kwa mchezo wetu siku ya Jumamosi.

Back to homepage
Share this story