Baada ya mazoezi hayo mchana kikosi kitaanza safari ya kuelekea Tanga tayari kwa maandalizi ya mchezo huo ambao tunaamini utakuwa mgumu.
Wachezaji wote wameshiriki mazoezi ya asubuhi na wapo kwenye hali nzuri tayari kwa kuanza safari ya kuelekea Tanga.
Advertisement
Tunafahamu moja ya viwanja vigumu kupata pointi tatu ni Mkwakwani lakini tumejipanga kuhakikisha tunapambana kuhakikisha tunaondoka na alama zote.