Simba Sports Club
News

Timu yafanya Mazoezi Arusha

12 Mar 2026

Timu imeondoka Singida Asubuhi kwa basi na kuwasili Arusha mchana na jioni wachezaji wamefanya mazoezi ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya mchezo huo.

Wachezaji wote 25 waliopo kikosini wameshiriki mazoezi hayo na wapo kwenye hali nzuri.

Advertisement
Back to homepage
Share this story