Wachezaji 11 ambao wamejiunga na wenzao leo mchana kutoka jijini Dar es Salaam nao wameshiriki kikamilifu mazoezi hayo.
Wachezaji wote wameshiriki mazoezi hayo na wapo kwenye hali nzuri na kila mmoja akionekana kufanya jitihada za kutafuta nafasi ya kutaka kuaminiwa.
Advertisement
Timu itaendelea kufanya mazoezi katika Uwanja wa Canal Suez kwa siku 28 kabla ya kurejea nchini kuanza msimu mpya wa mashindano.