Simba Sports Club
News

Timu yaendelea na Mazoezi Mo Arena

14 Apr 2023

Kikosi kimeingia kambini juzi Jumatano mara baada ya kurejea kutoka jijini Mbeya tulipocheza na Ihefu FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC.

Wachezaji wote wameshiriki mazoezi hayo na yamemalizika salama hakuna yoyote ambaye amepata majeraha.

Advertisement

Tunajua itakuwa mechi ngumu lakini tumejipanga kikamilifu kuhakikisha tunafanya kila linalowezekana kupata alama zote tatu.

Back to homepage
Share this story