Simba Sports Club
News

Timu yaendelea na mazoezi kujiwinda na ASEC

17 Nov 2023

Wachezaji wameshiriki mazoezi hayo kikamilifu na morali zao zipo juu wakionekana kuelewa mafunzo wanayopewa na walimu wao.

Tumeanza mazoezi mapema kujiandaa na mchezo huo kwakuwa lengo letu ni kuhakikisha tunabaki na alama zote tatu nyumbani dhidi ya ASEC.

Advertisement
Back to homepage
Share this story