Simba Sports Club
News

Timu yaendelea kujifua Mo Arena

27 Apr 2022

Wachezaji wote isipokuwa Hassan Dilunga ambaye yupo nchini Afrika Kusini kwa matibabu wamefanya mazoezi tayari kwa mchezo huo mkubwa unaosubiriwa kwa hamu.

Aidha, nyota Clatous Chama na Bernard Morrison ambao hawakwenda Afrika Kusini katika mchezo wa mwisho wa Kombe la Shirikisho dhidi ya Orlando Pirates nao wamejumuika mazoezini.

Advertisement

Kwa sasa tunaangalia jinsi ya kushinda mechi zetu 11 za ligi zilizobaki pamoja na Michuano ya Azam Sports Federation Cup baada ya kutolewa kimataifa.

Kila mchezo ulio mbele yetu utakuwa kama fainali kwakuwa tunataka kumaliza vizuri msimu wa ligi 2021/22.

Back to homepage
Share this story