Baada ya mchezo wa Simba Day dhidi ya St. George wachezaji walirudi mazoezini tayari kwa kujiandaa na mchezo huo muhimu ambao tunahitaji ushindi.
Kesho, kikosi kitafanya mazoezi ya mwisho asubuhi katika Uwanja wa Mo Arena ili kuwaweka tayari kwa mchezo wa Jumamosi.
Advertisement
Wachezaji wote wapo kwenye hali nzuri na hakuna yeyote ambaye amepata maumivu yatakayomfanya akose mchezo.