Simba Sports Club
News

Timu yaanza safari ya kurudi nyumbani

25 Feb 2024

Kikosi kitapitia Ethiopia kabla ya kuanza safari ya kurudi jijini Dar es Salaam na kinatarajia kuwasili saa tisa alfajiri.

Baada ya kufika timu itaanza maandalizi ya mchezo wa hatua ya 32 bora ya Azam Sports Federation Cup dhidi ya TRA utakaopigwa Uwanja wa Azam Complex, Februari saa moja usiku.

Advertisement

Machi 2 tutashuka katika Uwanja wa Benjamin Mkapa kuikabili Jwaneng Galaxy kutoka Botswana kwenye mchezo wa mwisho wa hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika

Back to homepage
Share this story