Baada ya kufika Uturuki timu itabadili Ndege kuja Tanzania na inatarajia kuwasili nchini saa tisa alfajiri.
Kikosi kikiwasili kitaingia kambini moja kwa moja kujiandaa na mchezo huo ambao utapigwa Jumapili saa 10 jioni Uwanja wa Benjamin Mkapa.
Baada ya kufika Uturuki timu itabadili Ndege kuja Tanzania na inatarajia kuwasili nchini saa tisa alfajiri.
Kikosi kikiwasili kitaingia kambini moja kwa moja kujiandaa na mchezo huo ambao utapigwa Jumapili saa 10 jioni Uwanja wa Benjamin Mkapa.