Simba Sports Club
News

Timu yaanza safari ya kurejea nyumbani

17 Sep 2024

Baada ya kufika Uturuki timu itabadili Ndege kuja Tanzania na inatarajia kuwasili nchini saa tisa alfajiri.

Kikosi kikiwasili kitaingia kambini moja kwa moja kujiandaa na mchezo huo ambao utapigwa Jumapili saa 10 jioni Uwanja wa Benjamin Mkapa.

Advertisement
Back to homepage
Share this story