Simba Sports Club
News

Timu yaanza rasmi mazoezi nchini Misri

15 Jul 2022

Kikosi kimewasili alfajiri Misri katika mji wa Ismailia ambapo tunafanya mazoezi katika Hoteli ya Mercure Ismailia Forsan Island

Timu imesafiri na wachezaji 19 ambapo tunatarajia wataongezeka baada ya taratibu za safiri kukamilika

Advertisement

Kikosi kitakuwa hapa kwa takribani wiki tatu ambapo tunaamini tutakapo rejea nyumbani tutakuwa tayari kwa msimu mpya.

Back to homepage
Share this story