Wachezaji wameanza na mazoezi ya gym huku wale walioitwa timu za taifa wakiruhisiwa kwenda kujiunga nazo.
Baada ya mchezo wa mwisho wa ligi dhidi ya Namungo wachezaji walipewa mapumziko mafupi kabla ya leo kuanza mazoezi ya gym.
Advertisement
Mazoezi ya gym ni kwa ajili ya kurejesha utimamu wa mwili kwa wachezaji kabla ya kuelekea uwanjani kujifunza mbinu.