Simba Sports Club
News

Timu yaanza mazoezi kujiwinda na ASEC

13 Nov 2023

Wachezaji wameanza na mazoezi ya gym huku wale walioitwa timu za taifa wakiruhisiwa kwenda kujiunga nazo.

Baada ya mchezo wa mwisho wa ligi dhidi ya Namungo wachezaji walipewa mapumziko mafupi kabla ya leo kuanza mazoezi ya gym.

Advertisement

Mazoezi ya gym ni kwa ajili ya kurejesha utimamu wa mwili kwa wachezaji kabla ya kuelekea uwanjani kujifunza mbinu.

Back to homepage
Share this story