Baada ya sare katika mchezo wa jana dhidi ya Geita Gold tunaelekeza nguvu zetu katika michuano ya ASFC ambapo tutashuka katika Uwanja wa CCM Kirumba Jumamosi saa tisa alasiri.
Lengo letu ni kuhakikisha tunatetea ubingwa wa michuano hiyo na tutahakikisha tunashinda mchezo wa Jumamosi