Wachezaji walipewa mapumziko ya siku moja baada ya kurejea kutoka nchini Botswana usiku wa kumkia jana tulipokuwa na mchezo dhidi ya Jwaneng Galaxy.
Wachezaji wote isipokuwa majeruhi wanatarajia kushiriki mazoezi ya leo chini ya Kocha Mkuu, Abdelhak Benchikha na wasaidizi wake.
Advertisement
Baada ya mazoezi ya jioni kikosi kitaingia kambini moja kwa moja kuendelea na maandalizi ya mchezo huo.