Kikosi kitarejea mazoezini Jumamosi kujiandaa na mchezo wa pili hatua ya makundi dhidi ya Constantine ya Algeria utakaopigwa Disemba, 8 saa moja usiku.
Jambo jema ni kwamba katika mchezo wa jana hakuna mchezaji aliyepata majeraha hivyo wote watarejea mazoezini Jumamosi wakiwa timamu.