Baada ya mchezo wa jana dhidi ya Petro De Luanda wachezaji walipewa mapumziko na kesho watarudi mazoezini kujiandaa na Stade Malien.
Mchezo dhidi ya Stade Malien utapigwa nchini Mali, Jumapili saa 10 jioni kwetu Tanzania itakuwa saa moja usiku.
Baada ya mchezo wa jana dhidi ya Petro De Luanda wachezaji walipewa mapumziko na kesho watarudi mazoezini kujiandaa na Stade Malien.
Mchezo dhidi ya Stade Malien utapigwa nchini Mali, Jumapili saa 10 jioni kwetu Tanzania itakuwa saa moja usiku.