Simba Sports Club
News

Timu kurejea Dar usiku huu

11 Mar 2023

Baada ya timu kufika wachezaji watapewa mapumziko ya siku moja ambapo watarejea mazoezini Jumatatu kuanza maandalizi ya mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Horoya FC kutoka Guinea.

Mchezo dhidi ya Horoya utapigwa Jumamosi Machi 18, katika Uwanja wa Benjamin Mkapa saa moja usiku.

Advertisement

Ushindi katika mchezo huo ndio utatupa tiketi ya kufuzu hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika ndio maana tunaupa umuhimu mkubwa.

Back to homepage
Share this story