Simba Sports Club
News

Timu kuondoka usiku kuifuata Mbeya City

21 Nov 2022

Kikosi kitaondoka na wachezaji 22 kuelekea jijini Mbeya kikiwa kamili kwa mpambano huo ambao tunaamini utakuwa mgumu kutokana na upinzani tunaokutana nao hasa wakiwa nyumbani.

Baada ya kufika timu itafanya mazoezi ya mwisho kesho saa 10 jioni katika Uwanja wa Sokoine kujiweka tayari kwa mtanange wa Jumatano.

Advertisement

Wachezaji wote ambao wapo kwenye orodha ya safari hali yao ni nzuri tayari kuipigania timu ugenini kutafuta alama tatu.

Back to homepage
Share this story