Kikosi kitaondoka na wachezaji 22 benchi la ufundi pamoja na Viongozi kutoka kwenye Menejimenti kamili kwa mchezo huo.
Ingawa tumetoka kuwafunga mabao 5-1 kwenye mchezo wa Robo Fainali ya Azam Sports Federation Cup jana lakini hatutawadharau Jumatatu hivyo tumejipanga vizuri kuwakabili.
Advertisement
Wakati ligi ikiwa inaelekea ukingoni kila mchezo tunaupa umuhimu mkubwa na lengo ni kuhakikisha tunapata pointi tatu katika kila mechi
Mchezo wetu dhidi ya Ihefu utapigwa Jumatatu saa 10 jioni katika Uwanja wa Southern Highland, Mbarali Mbeya.