Simba Sports Club
News Videos

Timu kuondoka mchana kuifuata Wydad Morocco

5 Dec 2023

Kikosi kitapitia Doha Qatar na kuunganisha ndege mpaka Casablanca na baadae kuunganisha tena hadi Marrakech.

Timu inatarajia kufika Marrakhech kesho mchana na wachezaji watapata saa chache za kupumzika na jioni watafanya mazoezi ya utimamu wa mwili.

Advertisement

Kuanzia Alhamisi kikosi kitaendelea na mazoezi kwa ajili ya kuivutia kasi Wydad katika mchezo ambao tunaamini utakuwa mgumu lakini tumejipanga kuhakikisha tunapata matokeo chanya.

Back to homepage
Share this story