Simba Sports Club
News

Timu kuondoka mchana kuifuata Kagera Kaitaba

10 May 2024

Mchezo wetu dhidi ya Kagera ambao tunatarajia utakuwa mgumu kutokana na ubora walionao wapinzani utapigwa Jumapili saa 10 jioni katika Uwanja Kaitaba.

Timu itaondoka na kikosi cha wachezaji 21 ambao tunaamini wataweza kutupatia ushindi kwenye mchezo wa Jumapili.

Advertisement

Kwa sasa malengo ya timu ni kuhakikisha tunashinda kila mchezo uliopo mbele yetu ili kuendelea kukaa juu kwenye msimamo wa Ligi.

Back to homepage
Share this story