Kabla ya kuondoka Ruangwa kikosi kimefanya mazoezi asubuhi katika Uwanja wa Majaliwa ili kuwaweka sawa wachezaji.
Wachezaji wote waliopo kikosini wapo kwenye hali nzuri tayari kupambania timu kufanya vizuri ili tutinge fainali ya michuano hiyo.
Advertisement
Mchezo wetu dhidi ya Azam utapigwa Nangwanda Jumapili kuanzia saa 9:30 Alasiri.