Simba Sports Club
News

Timu kuondoka kuelekea Dodoma kwa mechi mbili za NBCPL

19 Feb 2026

Jumapili Februari 22 kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa Jamhuri kuikabili Tanzania Prisons na Februari 25 tutacheza na Dodoma Jiji.

Kikosi kitaondoka na wachezaji wote ukiacha wale majeruhi wanaoendelea na matibabu.

Advertisement
Back to homepage
Share this story