Simba Sports Club
News

Timu kuondoka kesho kuifuata Namungo

16 Feb 2025

Kikosi kitasafiri kwa Ndege hadi Mtwara kisha kitachukua usafiri wa basi hadi Ruangwa tayari kwa mchezo huo.

Baada ya kikosi kuwasili kesho jioni kitafanya mazoezi ya utimamu wa mwili na Jumanne kitafanya mazoezi ya mwisho.

Advertisement
Back to homepage
Share this story