Kikosi kitasafiri kwa Ndege hadi Mtwara kisha kitachukua usafiri wa basi hadi Ruangwa tayari kwa mchezo huo.
Baada ya kikosi kuwasili kesho jioni kitafanya mazoezi ya utimamu wa mwili na Jumanne kitafanya mazoezi ya mwisho.
Kikosi kitasafiri kwa Ndege hadi Mtwara kisha kitachukua usafiri wa basi hadi Ruangwa tayari kwa mchezo huo.
Baada ya kikosi kuwasili kesho jioni kitafanya mazoezi ya utimamu wa mwili na Jumanne kitafanya mazoezi ya mwisho.