Baada ya kufika Arusha kesho jioni kikosi kitafanya mazoezi ya mwisho katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid kujiweka sawa kabla ya kuivaa Coastal Jumamosi.
Wachezaji wote 22 ambao watakuwepo kwenye safari wapo kwenye hali nzuri kuhakikisha wanapambana ili kuisaidia timu kupata alama tatu.