Kikosi kitaondoka na Ndege ya Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) ambapo itapitia Johannesburg kabla ya kuunganisha kuelekea Durban ambapo ndipo kutakapopigwa mchezo huo.
Baada ya kikosi kufika Afrika Kusini kesho jioni kitafanya mazoezi ya Gym ili kuweka miili sawa kutokana na uchovu wa safari.
Advertisement
Timu inaondoka ikiwa na matumaini ya kutinga fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika licha ya ugumu ambao tunategemea kukutana nao.