Simba Sports Club
News

Timu kuondoka kesho asubuhi kuifuata Big Bullets

7 Sep 2022

Kikosi kitaondoka na wachezaji 25 benchi la ufundi na baadhi ya viongozi kutoka Bodi ya Wakurugenzi.

Mchezo dhidi ya Big Bullets utapigwa saa tisa alasiri kwa saa za Malawi ambapo nyumbani itakuwa saa 10 jioni.

Advertisement

Malengo yetu ni kuhakikisha tunashinda katika mchezo wa Jumamosi ili kujiweka kwenye mazingira mazuri kwenye mechi ya marudiano.

Back to homepage
Share this story