Simba Sports Club
News

Timu kuondoka jioni kuifuata Dodoma Jiji

20 Jan 2023

Baada ya kuwasili jijini Dodoma, kikosi kitafanya mazoezi ya mwisho kesho kabla ya kushuka dimbani Jumapili kuikabili Dodoma.

Tunasafiri tukiwa tunajua tunaenda kukutana na timu bora katika uwanja wa ugenini, tunaiheshimu Dodoma na tunategemea kupata upinzani mkubwa lakini tumejipanga kupambana kupata pointi tatu.

Advertisement

Kwa sasa ligi ipo mzunguko wa pili na kila timu inapambana kutafuta pointi tatu ili kujiweka nafasi nzuri nasi tumejipanga na kila mchezo tumeupa umuhimu sawa.

Back to homepage
Share this story