Simba Sports Club
News

Timu kuondoka alfajiri kuifuata Namungo

1 May 2022

Kikosi kitashuka dimbani Jumanne katika Uwanja wa Ilulu kuikabili miamba hiyo ya Kusini katika mchezo ambao tunategemea utakuwa na ushindani wa kutosha.

Kwa sasa kila mchezo uliopo mbele yetu tumeupa umuhimu mkubwa kama fainali ili kuhakikisha tunamaliza vizuri msimu wa ligi.

Advertisement
Back to homepage
Share this story