Kikosi kitaondoka na msafara wa watu 45 ambapo wachezaji watakuwa 25 benchi la ufundi pamoja na viongozi.
Timu itasafiri na ndege ya Shirika la Ndege ya Ethiopia (Ethiopia Airlines) kikosi kitapitia nchini Ethiopia na kubadili ndege mpaka Guinea ambapo tunategemea kufika kesho jioni.
Advertisement
Tunatarajia kikosi kitakapofika nchini Guinea wachezaji kitafanya mazoezi ya utimamu wa mwili kuondoa uchovu wa safari.