Simba Sports Club
News

Timu kuingia kambini kujiandaa na Berkane

9 Mar 2022

Mchezo huo ni muhimu kwetu na tunahitaji kupata alama tatu nyumbani ambazo zitatuweka katika nafasi nzuri kwenye kundi letu.

Maandalizi ya mchezo yanaendelea na tayari viingilio vya mchezo vimeshatangazwa mapema ili mashabiki wanunue tiketi kupitia kwenye mitandao na kwenye vituo.

Viingilio vipo kama ifuatavyo

Mzunguko Sh 3,000

Advertisement

VIP B na C Sh. 20,000

VIP A Sh 30,000

Platinum Sh 150,000

Uongozi unawasihi mashabiki kununua tiketi mapema ili kuepuka usumbufu siku ya mchezo.

Back to homepage
Share this story