Wachezaji wote wako kwenye hali nzuri na morali ipo juu na kila mmoja amejitahidi kufanya vizuri ili kulishawishi benchi la ufundi kumpa nafasi kesho.
Katika mchezo wa kesho tunahitaji kushinda katika uwanja wa nyumbani ili kujiweka kwenye mazingira mazuri katika mechi inayofuata.
Advertisement
Mchezo huo utaanza saa 10 jioni ambapo uongozi umesisitiza mashabiki kuendelea kununua tiketi mapema ili kuepusha usumbufu kesho.