Simba Sports Club
News

Tawi la Chui Mabingwa Bonanza la Ubaya Ubwela

28 Jul 2024

Mabingwa Tawi la Chui ndio wenyeji wa Bonanza la Ubaya Ubwela kwakuwa limefanyika Temeke ambako wanatokea.

Bao pekee kwenye mchezo huo limefungwa na Hamis Abdallah kwa mpira wa adhabu uliotinga wavuni moja kwa moja dakika ya kwanza.

Advertisement

Mabingwa Tawi la Chui wamekabidhiwa Kombe pamoja na medali.

Back to homepage
Share this story