Simba Sports Club
News

TAARIFA KWA UMMA

7 Nov 2023

Vilevile tumefikia makubaliano ya kusitisha mkataba wa kocha wa viungo Corneille Hategekimana.

Uongozi wa Klabu ya Simba unawashukuru Makocha hawa kwa mchango wao ndani ya klabu yetu na inawatakia kila la heri katika majukumu yao mapya.

Katika kipindi cha mpito kikosi chetu kitakuwa chini ya Kocha Daniel Cadena akisaidiwa na Seleman Matola.

Tayari mchakato wa kutafuta makocha wapya umeanza na unatarajiwa kukamilika hivi punde.

Simba Nguvu Moja.

Advertisement

Imani J. Kajula

Afisa Mtendaji Mkuu

Simba Sports Club

07 Novemba 2023

Back to homepage
Share this story