Mabingwa hao mara 29 wa Ethiopia wamefikia katika Hotel ya Sea Cape Mbezi Beach ambapo kesho watafanya mazoezi ya mwisho katika Uwanja wa Benjamin Mkapa kabla ya mtanange wa Jumatatu.
Tumewaalika St. George kwenye tamasha letu la mwaka huu kwa kuwa tunajua uwezo wao na watatupa kipimo kizuri kuelekea msimu ujao.
Advertisement
Kila mwaka tumekuwa na utaratibu wa kualika timu bora kwenye kilele cha Simba Day kwa ajili ya kukipima kikosi chetu.