Simba Sports Club
News

St. George watua Dar

6 Aug 2022

Mabingwa hao mara 29 wa Ethiopia wamefikia katika Hotel ya Sea Cape Mbezi Beach ambapo kesho watafanya mazoezi ya mwisho katika Uwanja wa Benjamin Mkapa kabla ya mtanange wa Jumatatu.

Tumewaalika St. George kwenye tamasha letu la mwaka huu kwa kuwa tunajua uwezo wao na watatupa kipimo kizuri kuelekea msimu ujao.

Advertisement

Kila mwaka tumekuwa na utaratibu wa kualika timu bora kwenye kilele cha Simba Day kwa ajili ya kukipima kikosi chetu.

Back to homepage
Share this story