Taifa Stars itaingia kambini Julai 7 kujiandaa na michuano hiyo ambayo Tanzania ni miongoni mwa nchi mwenyeji.
Mlinda mlango Aishi Manula amerejeshwa kwenye kikosi cha stars baada ya kuwa nje kwa muda mrefu kufuatia majeraha yaliyokuwa yanamsumbua.
Advertisement
Nyota wengine walioitwa ni walinzi Shomari Kapombe, Mohamed Hussein 'Zimbwe Jr' na Abdulrazack Hamza.
Wengine ni kiungo Yusuph Kagoma na kiungo mshambuliaji Kibu Denis.