Simba Sports Club
News

Simba yaichakaza bila huruma Yanga Bunge Bonanza

1 Feb 2025

Katika mchezo huo Simba ilimiliki sehemu kubwa ambapo ilikuwa na uwezo wa kupata mabao mengi zaidi.

Meneja Habari na Mawasiliano wa Klabu, Ahmed Ally alikuwa miongoni mwa wachezaji wa Simba waliocheza mechi hiyo ambapo aliingia dakika ya 80.

Advertisement

Bonanza hilo lilianza na matembezi pamoja na mbio zilizoanzia Chuo cha Mipango yakiongozwa na Waziri Mkuu wa Tanzania, Mh. Kassim Majaliwa, Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson, Rais wa TFF, Wallace Karia pamoja na Wabunge na Viongozi mbalimbali wa Serikali.

Back to homepage
Share this story