Simba Sports Club
News

Simba yaendelea na mazoezi kumvutia kasi mtani

4 May 2021 By simbasc 2,155 views

Kikosi chetu leo jioni kimeendelea na mazoezi katika Uwanja wa Mo Simba Arena kujiandaa na mchezo ujao wa Ligi Kuu dhidi ya watani wa jadi Yanga, utakaopigwa Jumamosi Mei 8, mwaka huu

Mazoezi kuelekea mchezo huo yalianza jana huku wachezaji wote wakishiriki na wakiwa katika hali nzuri.

Advertisement

Katika mechi hiyo pia hakuna nchezaji ambaye anatarajiwa kukosekana.

Back to homepage
Share this story