Baada ya kuwasili wachezaji wamepewa mapumziko ya wiki moja kabla ya kurejea mazoezini kujiandaa na michuano ya Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania (TWPL).
Baada ya muda huo kikosi kitarejea mazoezini kujiandaa na ligi ya ndani ambayo tunahitaji kutetea taji letu.
Advertisement
Ingawa haikuwa malengo yetu kwenye michuano hii kutotwaa ubingwa lakini haiwezi kuturudisha nyuma kutetea taji letu la Ligi.