Tuzo hiyo tumekabidhiwa na waandaaji Serengeti Byte baada ya kuzishinda timu nyingine zinazoshiriki Ligi Kuu ya NBC ambazo ni Azam FC, Mbeya City, Ruvu Shooting na Yanga.
Kwa mujibu wa Serengeti Byte, klabu yetu imekuwa na muendelezo mzuri katika Kitengo chetu cha Habari na Mawasiliano na tunafanya vizuri katika mitandao ya kijamii ikiwa na maana ya kwenda na wakati.
Advertisement
Mpaka sasa tunapatikana katika majukwaa mbalimbali katika mitandao ya kijamii ambayo ni Instagram, Facebook, Twitter na Tiktok.